Habari Picha
Inspekta
Issa Asali kutoka Makao makuu ya Jesi la Polisi kitengo cha polisi Jamii akitoa
elimu
ya kukabiliana na makosa ya
kimtandao katika Kata ya Nangomba.
Inspekta
Issa Asali na Donati Mushi kutoka CRDB wakiwa studio za Redio fadhila kutoa
elimu ya makosa ya kimtandao.
Kaimu
mkurugenzi Halmashauri ya mji Masasi Zuena Ungele akitia saini mkataba wa
kuanza kwa ujenzi wa machinjio bora ya kuku katika halmashauri ya mji Masasi.
Kontrakta
eneo
la macinjio lilivyo hivi sasa.
eneo
la macinjio lilivyo hivi sasa.
Afisa
Ardhi Geofrey Martin akionyesha ramani sehemu patakapojengwa machinio ya kuku
eneo la Migongo.







No comments: