Papii Kocha awaliza watu
Friday , 16th Feb , 2018
Msanii wa muziki wa 'Papii Kocha'
ambaye alikuwa amefungwa kwa zaidi ya miaka 13 jela leo Februari 16,
2018 ameachia video ya wimbo wake mpya 'Waambie' ambao umewaliza baadhi
ya watu kutokana na mambo ambayo ameyaimba ndani ya wimbo huo.
Wimbo
huo wa Papii Kocha umeandikwa na mwanadada Natasha na kutengenezwa na
mtayarishaji wa muziki wa bongo fleva Ema The Boy na video yake
kutengenezwa na Wanene Studio.
Itazame zaidi hapa
Itazame zaidi hapa
No comments: