Header Ads

Papii Kocha awaliza watu


Friday , 16th Feb , 2018
Msanii wa muziki wa 'Papii Kocha' ambaye alikuwa amefungwa kwa zaidi ya miaka 13 jela leo Februari 16, 2018 ameachia video ya wimbo wake mpya 'Waambie' ambao umewaliza baadhi ya watu kutokana na mambo ambayo ameyaimba ndani ya wimbo huo.
Wimbo huo wa Papii Kocha umeandikwa na mwanadada Natasha na kutengenezwa na mtayarishaji wa muziki wa bongo fleva Ema The Boy na video yake kutengenezwa na Wanene Studio.
Itazame zaidi hapa

No comments:

Powered by Blogger.