Somalia na AMISOM zaahidi kuimarisha ushirikiano
Somalia na AMISOM zaahidi kuimarisha ushirikiano kwenye vita dhidi ya ugaidi
Serikali ya Somalia na Tume ya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM zimeeleza nia ya kuimarisha ushirikiano kwenye mapambano dhidi ya ugaidi nchini humo.
Mjumbe maalumu wa mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika kwa Somalia Bw Francisco Madeira na waziri wa mambo ya ndani wa Somalia Bw Abdi Mohamed Sabriye wamesisitiza tena ahadi zao za kupambana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab.
Serikali ya Somalia na Tume ya Umoja wa Afrika nchini Somalia AMISOM zimeeleza nia ya kuimarisha ushirikiano kwenye mapambano dhidi ya ugaidi nchini humo.
Mjumbe maalumu wa mwenyekiti wa Tume ya Umoja wa Afrika kwa Somalia Bw Francisco Madeira na waziri wa mambo ya ndani wa Somalia Bw Abdi Mohamed Sabriye wamesisitiza tena ahadi zao za kupambana na kundi la kigaidi la Al-Shabaab.

No comments: