Header Ads

LIVERPOOL YAMALIZANA KWA SARE NA PORTO, 0-0 ANFIELD

Sadio Mane wa Liverpool akiruka juu kuwania mpira katikati ya wachezaji wa Porto usiku wa Jumanne katika mchezo wa marudiano hatua ya 16 Bora Ligi ya Mabingwa Ulaya uliomalizika kwa sare ya 0-0 Uwanja wa Anfield. Liverpool inasonga mbele kwa ushindi wa jumla wa 5-0 ilizozipata kwenye mchezo wa kwanza mjini KWA PICHA ZAIDI TAZAMA HAPA





No comments:

Powered by Blogger.