Nay wa Mitego: Naendelea na Mziki Wangu Ule Ule Sina Mpango Wa Kubadilika
Mwanamuziki wa Bongo fleva Nay wa Mitego amefunguka na kuweka wazi kuwa hana mpango wa kubadilisha aina ya muziki anaofanya kwani ndio mziki unaopendwa na mashabiki zake.
Wiki chache zilizopita Nay wa Mitego alikuwa mmoja kati ya wasanii waliofungiwa nyimbo kumi na tano na BASATA kwa ukosefu wa maadili ya Kitanzania kwenye nyimbo hizo.

No comments: