Serikali yataka mikataba kwa vibarua
Naibu Waziri wa Kazi, Vijana na Ajira, Mhe. Antony Mavunde amewataka
waajiri kuhakikisha wanatoa mikataba kwa vibarua wanaowapa kazi hata
kama ni kazi za muda ili kuondoa msuguano baina ya viwanda na vibarua
hao.
Mh. Mavunde
ameyasema hayo mara baada ya kutembelea baadhi ya viwanda Jijini Dar es
saam nakukutana na malalamiko kutoka kwa vibarua hao na wafanyakazi.
Aidha Mh. amesea imekua ni hali ya kawaida kwa baadhi ya wamiliki wa viwanda na kampuni kushindwa kutoa mikataba ya kazi kwa vibarua na wafanyakazi wao hali ambayo serikali imekataa hali hiyo na kuagiza utoaji wa mikataba ili kuwalinda wafanyakazi.
Aidha Mh. amesea imekua ni hali ya kawaida kwa baadhi ya wamiliki wa viwanda na kampuni kushindwa kutoa mikataba ya kazi kwa vibarua na wafanyakazi wao hali ambayo serikali imekataa hali hiyo na kuagiza utoaji wa mikataba ili kuwalinda wafanyakazi.

No comments: