Son
Heung-min akikimbia kushangilia baada ya kufunga mabao mawili dakika za
62 na 87 katika ushindi wa 4-1 wa Tottenham Hotspur dhidi ya AFC
Bournemouth usiku wa Jumapili Uwanja wa Vitality. Mabao mengine ya Spurs
yamefungwa Dele Alli dakika ya 35 na Serge Aurier dakika ya 90 na ushei
SON HEUNG-MIN APIGA MBILI SPURS YAIBAMIZA 4-1 BOURNEMOUTH
Reviewed by
fadhilaradio
on
9:03 PM
Rating:
5
No comments: