Azam FC yakwama
Kwa upande mwingine nahodha wa Azam FC Himid Mao, baada ya mechi ameeleza kuwa wao kama timu wataendelea kupigana hadi mwisho wa ligi na watatumia mchezo wa leo kuweza kufanyia marekebisho matatizo ya ufungaji ambayo yanawanyima ushindi.
Baada ya matokeo ya leo Azam FC imebaki katika nafasi ya 3 ikifikisha alama 45 katika michezo 23. Mbeya City nayo imebaki katika nafasi ya 8 ikiwa na alama 26 kwenye michezo 23. Timu zote zimebakiwa na mechi 7 kabla ya ligi kumalizika.

No comments: