Jeshi
la Polisi nchini linatangaza nafasi za ajira kwa mwaka 2017/2018 kwa
vijana waliopita mafunzo ya JKT/JKU ambao wamemaliza mafunzo ya awali
katika operesehi Kikwete na Operesheni Magufuli wenye elimu ya kidato
cha nne, cha sita, astashahada, stashahada, shahada ya juu.
Mambo 24 Unayotakiwa Kuyatimiza ili kupata ajira zilizotangazwa na Polisi
Reviewed by
fadhilaradio
on
9:56 PM
Rating:
5
No comments: