Kagame akiri kuteswa na viongozi wa Arsenal
''Kuhusu timu yangu ninayoipenda ya Arsenal, ni timu nzuri sana na imekuwa na kocha bora sana ambaye ni Wenger na hakupaswa kuwa na mwisho huu wa kuondoka bila kombe, lawama zote ziwaendee viongozi, lakini nitaendelea kuipenda Arsenal'' amendika Kagame.
Mapema mwezi April, Arsene Wenger alitamngaza kuondoka Arsenal mwishoni mwa msimu huu baada ya kuifundisha timu hiyo kwa miaka 22 huku akiipatia mafanikio kadhaa.


No comments: