Mahiga aionya wizara yake
Kwa upande wake Katibu mkuu wizara hiyo Dkt.Adolf Nkenda amesema wamefanya mabadiliko makubwa katika idara mbalimbali ili kubaini mapungufu yalipo ikiwa ni pamoja na utoaji haki kwa wafanyakazi kutokana na kuwepo kwa malalamiko ya upendeleo na matabaka wizarani hapo.
Katika tukio lingine Dkt.Mahiga alimuongoza waziri wa mambo ya nje ya shirikisho la Ujerumani Mh. Heiko Maas kuweka shada la maua kwenye sanamu ya askari eneo la Posta ikiwa ni ishara ya kumbukumbu kwa Ujerumani na Tanzania na baadae kufanya kikao cha ndani na makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan.

No comments: