Header Ads

‘Mtwara kuchele’ mapokezi ya Yanga SC yafana kabla ya kuikabili Ndanda FC (video+picha)

Bingwa mtetezi wa ligi kuu soka Tanzania Bara klabu ya Yanga imepata mapokezi ya kutosha wakati wakiwasili Mtwara kwaajili ya mchezo wao dhidi ya Ndanda FC utakao pigwa katika dimba la Nangwanda  hapo kesho siku ya Jumatano.
 Kikosi cha Yanga kimefanya mazoezi ya mwisho hii leo kabla ya kuelekea katika mchezo huo muhimu huku kocha mkuu wa timu hiyo Mzambia George Lwandamina akisema kuwa timu yake ipo tayari kuivaa Ndanda FC.

No comments:

Powered by Blogger.