Wafuasi 3 wa CHADEMA waliojeruhiwa kwa risasi katika maandamano ya
uchaguzi mdogo Kinondoni wamesomewa kosa la kufanya maandamano yasiyo
rasmi Mahakama ya Kisutu.
Wameachiwa kwa dhamana, masharti ni bondi ya Mil.1.5, mdhamini mmoja na kutotoka nje ya nchi.
No comments: