Header Ads

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa mataifa la kuendeleza viwanda

Mkurugenzi Mkuu wa shirika la Umoja wa mataifa la kuendeleza viwanda - UNIDO Bw. Li Yong amesema yupo nchini Tanzania kujifunza, kusikiliza, na kujadiliana na wadau kuhusu njia bora ya kusaidia maendeleo ya viwanda nchini.

No comments:

Powered by Blogger.