Header Ads

Serikali imeombwa kuchukua hatua kali

Serikali imeombwa kuchukua hatua kali ya kudhibiti vipigo kwa kutumia silaha za jadi dhidi ya wanawake wilayani Serengeti pamoja na tatizo kubwa la ukeketaji watoto wa kike, hatua ambayo inafanya wilaya hiyo kuwa na kiwango cha juu cha vitendo vya ukatili na unyanyasaji wa kijinsia dhidi ya wanawake na watoto wa kike mkoani Mara.

No comments:

Powered by Blogger.