Header Ads

UJUMBE WA KATIBU MKUU UN, ANTÓNIO GUTERRES

Tupo katika kipindi muhimu kuhusu haki za wanawake. Historia na miundo ya ukosefu wa usawa ambao umeruhusu ukandamizaji na ubaguzi kushamiri kwa muda mrefu, sasa umewekwa hadharani. "Kufikia usawa wa jinsia na kuwawezesha wanawake na wasichana ni jukumu letu la sasa, na changamoto kubwa zaidi ya haki za binadamu duniani kote.

No comments:

Powered by Blogger.