Rais Magufuli ahamisha bilioni 2 za UDSM
Rais
Magufuli amefanya maamuzi hayo baada ya kubaini kuwa kati ya wanafunzi
9,384 ni wanafunzi 3,864 pekee walio kwenye mabweni wakati akizungumza
na wanafunzi pamoja na wafanyakazi wa Chuo Kikuu cha Sokone cha kilimo
SUA baada ya kupokea malalamiko toka kwa wanafunzi wakidai wengi wao
wamekua wakilazimika kulala wawili kwenye kitanda kimoja na wengine
kufikia kuishi kwenye nyumba za kupanga hali inayo leta ugumu
ikilinganishwa na mazingira ya Chuo.
Baada ya kupokea malalamiko hayo ameagiza kiasi cha Shilingi billion 2 zilizo pangwa kupelekwa chuo kikuu cha Dar es salaam kwa ahadi ya Waziri wa Elimu ihamishe na kuletwa katika chuo hiki na kusisitiza umakini katika usimamizi wa fedha hizo.
Awali kabla ya kutolewa kwa agizo hilo Waziri wa Elimu Joyce Ndalichako amesema kwa mwaka huu wa fedha chuo hicho kimetengewa kiasi cha Shilingi Bilion 8 kwa ajili ya Miradi ya maendeleo.
Mtazame hapa chini Rais Magufuli
Baada ya kupokea malalamiko hayo ameagiza kiasi cha Shilingi billion 2 zilizo pangwa kupelekwa chuo kikuu cha Dar es salaam kwa ahadi ya Waziri wa Elimu ihamishe na kuletwa katika chuo hiki na kusisitiza umakini katika usimamizi wa fedha hizo.
Awali kabla ya kutolewa kwa agizo hilo Waziri wa Elimu Joyce Ndalichako amesema kwa mwaka huu wa fedha chuo hicho kimetengewa kiasi cha Shilingi Bilion 8 kwa ajili ya Miradi ya maendeleo.
Mtazame hapa chini Rais Magufuli

No comments: