Unalalamikia Michango, Ulichangia Nini Zaidi ya Kulia:-Steve Nyerere
Msanii wa bongo movies Steve Nyerere amefunguka tena kwa mara
nyingine na kusema kuwa kwa watu wenye akili timamu hawezi kukaa
aaongelea rambirambi ya marehemu wakati msiba haujafkisha hata arobaini
na wala sio ndugu wa karibu wa marehemu.
Steve Nyerere anasema kuwa watu wengi wamekuwa na akili mbaya ya kuingia instagram na kulalamiia swala hilo bila kuwa na taarifa rasmi ya kitu hicho.
Steve Nyerere anasema kuwa ela hiyo yenye jumla ya shilingi mil2,1 bado ipo na kwamba kama kamati walipanga kufungua akeunti kwa ajili ya mtoto wa marehemu na wala sio kupewa ndugu za marehemu kama inavyosambaa katika mitandao ya kijamii,
Steve Nyerere anasema kuwa watu wengi wamekuwa na akili mbaya ya kuingia instagram na kulalamiia swala hilo bila kuwa na taarifa rasmi ya kitu hicho.
Steve Nyerere anasema kuwa ela hiyo yenye jumla ya shilingi mil2,1 bado ipo na kwamba kama kamati walipanga kufungua akeunti kwa ajili ya mtoto wa marehemu na wala sio kupewa ndugu za marehemu kama inavyosambaa katika mitandao ya kijamii,
Sidhani kama mtu mwenye akili timamu tena kama wewe ni ndugu tena ambae hata arobaini ya marehemu haijafika unafikia hatua unaanza kuongelea swala la michango ya kwenye msiba wakati michango mingine inatakiwa kwenda kwenye arobaini.Lakini pia akiongelea swala hilo, zamaradi mketema alithibitisha kuwa pesa hiyo ipo kwake na kwamba wanafatilia taarifa za mtoto wa marehemu ili waweze kumfungulia akaunti yake.
Niulize , unatokaje na kwenda kuzngumzia maswal aya rambirambi kwenye vyombo vya habari wewe umechangia nini, zaidi ya kulia, umechangia jeneza?

No comments: