Header Ads

Unalalamikia Michango, Ulichangia Nini Zaidi ya Kulia:-Steve Nyerere

Msanii wa bongo movies Steve Nyerere amefunguka tena kwa mara nyingine na kusema kuwa kwa watu wenye akili timamu hawezi kukaa aaongelea rambirambi ya marehemu wakati msiba haujafkisha hata arobaini  na wala  sio ndugu wa karibu wa marehemu.
Steve Nyerere anasema kuwa watu wengi wamekuwa na akili mbaya ya kuingia instagram na kulalamiia swala hilo bila kuwa na taarifa rasmi ya kitu hicho.

Steve Nyerere anasema kuwa ela hiyo yenye jumla ya shilingi mil2,1 bado ipo na kwamba kama kamati walipanga kufungua akeunti kwa ajili ya mtoto wa marehemu na wala sio kupewa ndugu za marehemu kama inavyosambaa katika mitandao ya kijamii,
Sidhani kama mtu mwenye akili timamu tena kama wewe ni ndugu  tena ambae hata arobaini ya marehemu haijafika unafikia hatua unaanza kuongelea swala la michango ya kwenye msiba  wakati michango mingine inatakiwa kwenda kwenye arobaini.
Niulize , unatokaje na kwenda kuzngumzia maswal aya rambirambi kwenye vyombo vya habari wewe umechangia nini, zaidi ya kulia, umechangia jeneza?
Lakini pia akiongelea swala hilo, zamaradi mketema alithibitisha kuwa pesa hiyo ipo kwake na kwamba wanafatilia taarifa za mtoto wa marehemu ili waweze kumfungulia akaunti yake.

No comments:

Powered by Blogger.