Mwanadada Wema Sepetu ametaka kuwabadilisha mashabiki wake na
kuwaambia kuwa kwa sasa anataka kufanya vitu kulingana na umri wake kwa
sababu anaamini kuwa kwa sasa yeye amekuwa na anahitjikufanya vitu
kulingana na umri wake na sio kama wema yule wa zamani amabe watu
walikuwa wamemzoea.
tukimwangalia wema wa sasa
hivi tunamwangalia wema ambae yuko matured,ambae amekuwa kiakili,
kifikra na kimawazo kwa sababu binadamu yoyote ili akue ni lazima
apitie baadhi ya mambo na hata niliyoyapitia mimi yamenipa experience
sana.
ikiwa kama mtu wa kawaida ni lazima kuna vitu
unafanya lakini unasema nimekosea lakini kutokana na hilo ninajifuza
kitu , kwaio tunajifunza kutokana na makosa.hakuna kitu nimefanya
ambacho ni cha ajabu sana cha kushangaza umma.
kwaio wema tunaemuongelea sasa ni mtu mzima, ni mwanamke na sio msichana tena.
Wema
ameyaongea hayo ikiwa ni moja ya kuelezea mafanikio yake aliyoyapata
sasa baada kupata madili makubwa ya makampuni mbalimbali.
No comments: