Yanga yaomba radhi
"Hivi sasa uongozi wa Yanga na Shirikisho la Mpira wa Miguu nchini (TFF) kwa pamoja tunashughulikia suala hili ili mechi zijazo nembo ya mdhamini wetu iweze kutumika kama ilivyotumika kwenye michezo ya hatua za awali. Ikumbukwe kwamba kuanzia hatua hii ya makundi, CAF ndiyo inasimamia haki za matangazo pamoja na mabango yote yanayotakiwa kuwekwa viwanjani, hivyo tayari mawasiliano nao kupitia TFF yamekwishafanyika", amesema Mkwasa.
Pamoja na hayo, Mkwasa ameendelea kwa kusema "uongozi wa Yanga unaomba radhi kwa kampuni ya SPORTPESA na wale wote walioathirika na matatizo yote yaliyojitokeza wakati wa mchezo huo".
Kwa habari kamili soma hapa chini


No comments: