MUSEVENI AWAWEKA KANDO WAZIRI NA IGP:
Rais wa Uganda Yoweri Museveni
ametengua uteuzi wa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini humo, Kale Kayihura
na waziri wa Ulinzi, Henry Tumukunde.
Generali Kayihura, ambaye ni miongoni mwa washirika waliomsaidia rais Museveni kuingia madarakani mwaka 1986, alikuwa ni afisa mwenye nguvu zaidi katika jeshi hilo la Uganda.
Rais Museveni amemteua msaidizi wake, Okoth Ochola kushika wadhifa huo.
Generali Kayihura, ambaye ni miongoni mwa washirika waliomsaidia rais Museveni kuingia madarakani mwaka 1986, alikuwa ni afisa mwenye nguvu zaidi katika jeshi hilo la Uganda.
Rais Museveni amemteua msaidizi wake, Okoth Ochola kushika wadhifa huo.


No comments: