Namkubali Alikiba ila Ana-gap Kwenye Uvaaji:-Q-Boy
Msanii wa muziki ambae pia ni mbunifu wa mavazi, Q-Boy msafi
amefunguka na kusema kuwa amekuwa akimkubali sana Alikiba kutokana na
kazi zake lakini anaona kuwa kuna kitu kimepungua katika mavazi na
anaona itakuwa poa kukirekebisha ili mambo yaende sawa.
nina-apreciate sana kile anachokifanya lakini sasa naona kana yeye ni mtu ambae kuna gap katika swala zima la uvaaji wake na kaka nitapata nafasi ninaweza kufanya kitu kile ambacho upeo wangu nilikuwa naona kwamba kuna kitu hiki na hiki naweza kukiweka hapa ambacho kinaweza kuleta utofauti kidogo.-Alizungumza q boy alipokuwa akiongea na bongo 5Hata hivyo Q-Boy amesema kuwa yeye kusema hivyo haimaanishi kuwa yule anaemvalisha Alikiba amekuwa na hajui anaanakosea kumvalisha lakini anaona kuna vitu kidogo vinahitaji kukaa tofauti katika mavazi.

No comments: