Mwanadada Irene Uwoya ameweka wazi kuwa muda mwingi tngu kufariki
kwa aliyekuwa rafiki yake kipenzi agness masogange amekuwa akiogopa
kukaa peke yake kwa sababu anahisi kama mzimu wa rafiki yake huyo
unaweza kumtokea. Irene Uwoya ansema kuwa kwa jinsi alivyokuwa karibu na
rafiki yake Agness Masogange imekuwa ngumu sana kwake kukaa peke yake
na ndio maana hata baada ya msiba ilikuwa ngumu kwake kuendelea kukaa
katika nyumba iliyokuwa karibu na nyumba ya aAgness na kubidi ahame .
Nahofia sana kutokewa na agness jamani,yaani imekuwa ni lazima niw mtu
wa kujichanganya kila siku ili nisiwe ninamkumbuka na mambo mengi
yanayomhusu.Alisema Irene alipokuwa akiongea na GPL. Irene na Agness
walikuwa marafiki wa muda mrefu na walikuwa wakikaa karibu karibu katika
mtaa wa Makongo juu jijini Dar lakini baada ya kifo cha masogange
ilibidi irene kuhama eneo hilo ili kuepueka kumkumbuka sana rafiki
yake.
No comments: