"Na-deal na mwanamke sio mwanaume"- Ebitoke
“Sasa ukigombana na mwanaume akikuacha je, mi napambana na mwanamke amuache yeye, siwezi kumuacha bwana wangu, nitamuuliza kwa utaratibu tu, unajua mwanaume ili awe mpole kwako lazima uende nae kipole kipole, sasa unatakiwa u-deal na mwanamke bila kumuhusisha, hata kama yeye ndio kasababisha”, amesema Ebitoke
Ebitoke amesisitiza kwamba iwapo yeye atamfumania mpenzi wake na mwanamke mwengine, hatohangaika na mwanaume wake, isipokuwa atamshikisha adabu yule mwanamke ili amuache mwanaume wake.

No comments: