“Nilienda kuvuruga kwa Lowassa”-Musukuma
Musukuma amejibu kuwa mgombea huyo hakuwa chaguo lake yeye alienda kwa ajili ya kazi maalum na alipokamilisha alipatikana Mgombea wa Urais kutoka Mkoani kwake.
“Unajua zingine ni mbinu tu za kibiashara hata wafanyabiashara wakubwa tunatumia mbinu hizo kwahiyo hata mimi nilienda tu kufanya kazi yangu nilipokamilisha akapatikana mgombea na ambaye ndiyo Rais wa sasa na anatoka kwetu Geita”. Amesema Msukuma.
Mh. Musukuma ameongeza kuwa wabunge wengi wamekuwa hawana ujasiri wa kuzungumza ukweli kitu ambacho yeye anafanya kwa kujiamini.

No comments: